Friday, March 8, 2013

BREKING NEWS: UHURU KENYATTA ASHINDA URAIS KENYA

** *Ankal akisalimiana na Mhe Uhuru Kenyatta siku za nyuma wakati Rais huyo mteule wa Kenya alipotembelea Tanzania. Leo Tume ya Uchaguzi ya Kenya imemtangaza Mhe Kenyatta kuwa mshindi wa kinyang'anyiro cha Urais baada ya kupata kura dhidi ya mpinzani wake wa karibu Mhe Raila Odinga*

No comments:

Post a Comment