Monday, February 25, 2013

MITAALA NI CHANZO CHA WANAFUNZI KUFELI

MITAALA


Mwenyekiti wa Chama cha NCCR-Mageuzi, Bw. James Mbatia ambaye pia ni Mbunge wa Kuteuliwa,  akiwaonesha waandishi wa habari (hawapo pichani), Dar es Salaam juzi, baadhi ya vitabu vya mitaala batili iliyochangia kufelisha wanafunzi wa Kidato cha Nne, Kushoto ni Mkuu wa Idara ya Kampeni na Uchaguzi wa chama hicho, Bw. Faustine Sungura.

No comments:

Post a Comment